Ijumaa hii ndani ya nyumbani lounge patakuwa hapatoshi kwa ile show ya miaka 13 ya komando jaydee usikose pale ujionee mambo mazuri kutoka kwake
NEW TRACK;; Tam Tam by D-Manyuti LISTEN AND DOWNLOAD IT FROM HERE
-
LISTEN AND DOWNLOAD THE NEW SONG FROM D-MANYUTI
mjjj
n







Msanii kutoka stim record miry jay wiki hii ataachia ngoma yake mpya aliyoipa jina (sitaki mapenzi)

Msanii wa leo tunaye msanii anayetikisa kwa video kali hapa town kwa jina abrah mbili mbili msanii huyo aliye fanya ngoma na wasanii wa kubwa hivi karibuni ameachia video yake mpya ambayo inabamba kwenye tv station mbalimbali na hata kushika namba kwenye top 10 za eatv.Abrah mbili mbili kwasasa yupo kwenye michakato ya kuachia ngoma yake mpya aliyo fanya na Ally nipishe kaa tayari kwa track hiyo . Huyo ndo msanii wetu wa leo ABRAH MBILI MBILI
kiukweli watu wanaanzia mbali unakumbuka enzi za joti na mpoki kipindi hicho tazama picha hiyo ya kwanza utaona walivyo kuwa kipind hicho wana vaa maviatu makubwa na masuluari makubwa lakini hivi sasa ni watu maarufu hapa nchini walitafuta kwa jasho sasa wanakula kwa mrija kama na ww unaanza kutafuta usikate tamaa maana huwezi kujua kesho utakuwa nani hongereni








Kwa picha za kijanja kama hizi wasiliana na namba hizi 0718135637
z



