Mwanadada fatma rashid ndiye nyota wasiku aliyeshiriki kwenye mashindano ya miss bagamoyo yaliyo shirikisha warembo kibao kutoka kila pande za jiji na mwana dada huyo kuibuka namba tano(5) kati ya washiriki saba(7) nakupewa nafasi ya kushiriki miss pwani shindano ambalo lipo karibuni kuanza mwanadada aliku na haya yakusema "kwa sasa nipo najifua ili niweze kushinda kwenye miss pwani sitaki kupata na 3 wala 2 nataka namba moja na asante sana kwa wote walio nipa ushirikiano wa hali na mali nawapenda wote"
NEW TRACK;; Tam Tam by D-Manyuti LISTEN AND DOWNLOAD IT FROM HERE
-
LISTEN AND DOWNLOAD THE NEW SONG FROM D-MANYUTI
mjjj
n
0 comments:
Post a Comment