Pages

Ads 468x60px

Monday 27 May 2013

MSANII WA SIKU NA UNSTOPPABLE PALE KATI NI MISS BAGAMOYO NAMBA 5 (FATMA RASHID)





Mwanadada fatma rashid ndiye nyota wasiku aliyeshiriki kwenye mashindano ya miss bagamoyo yaliyo shirikisha warembo kibao kutoka kila pande za jiji na mwana dada huyo kuibuka namba tano(5) kati ya washiriki saba(7) nakupewa nafasi ya kushiriki miss pwani shindano ambalo lipo karibuni kuanza mwanadada aliku na haya yakusema "kwa sasa nipo najifua ili niweze kushinda kwenye miss pwani sitaki kupata na 3 wala 2 nataka namba  moja na asante sana kwa wote walio nipa ushirikiano wa hali na mali nawapenda wote"

0 comments:

Post a Comment