Pages

Ads 468x60px

Tuesday, 7 May 2013

PATA LYRICS ZA NGOMA YA BEN PAUL__ JIKUBALI

Verse1; Unaweza kuwa Doctor, unaweza kuwa Star Unataka kuwa Linah, unaweza kuwa Shaa Kipaji Mali yako, Elimu Ngao yako Usiache jambo Kati kwenye maisha yako Unaweza kuwa Diamond, unaweza kuwa Jay Unaweza kuwa JB, unaweza kuwa Ray Mi Nakuasa it's your time, Huwezi kuwa chini you've got somethin' special Unampenda Lady Jay dee unamzimia Zitto Trust me iko siku utatimiza ndoto yako You can be a Boss, you can be a...
Chorus;
Wakati wako ndio leo (leo)
Kutimiza malengo yako,
Nakusihi Anza sasa (sasa)
Jishughulishe utapata (rudia mara mbili)
Verse 2;
Utavunja vunja miamba, hamisha milima
Vikwazo lazima nawe usirudi nyuma
You'll be a hero, you can be the best
You can be a leader (dedicate yourself)
Tanzania ni yako, penda watu wako
Kuwa mfano bora kwenye jamii yako
Star Kama AY , kufika alipo FA
Inawezekana if you work hard in it
Na utafika mbali utazame ulikotoka
Mbunifu mwenye hadhi kama Hadija Mwanamboka
Unaweza kuwa rubani, unaweza Hak

0 comments:

Post a Comment