Chorus;
Wakati wako ndio leo (leo)
Kutimiza malengo yako,
Nakusihi Anza sasa (sasa)
Jishughulishe utapata (rudia mara mbili)
Verse 2;
Utavunja vunja miamba, hamisha milima
Vikwazo lazima nawe usirudi nyuma
You'll be a hero, you can be the best
You can be a leader (dedicate yourself)
Tanzania ni yako, penda watu wako
Kuwa mfano bora kwenye jamii yako
Star Kama AY , kufika alipo FA
Inawezekana if you work hard in it
Na utafika mbali utazame ulikotoka
Mbunifu mwenye hadhi kama Hadija Mwanamboka
Unaweza kuwa rubani, unaweza Hak
0 comments:
Post a Comment