Pages

Ads 468x60px

Sunday 2 June 2013

AUNT EZEKIEL ACHANA NA MUVI NA KUGEUKIA MUZIKI AFANYA KOLABO NA JANUARY

Staa wa muvi za kibongo "aunt ezekiel  mrs demote" amewashtua wadau kwa kuamua kuingia kwenye muziki akizungumza na unstoppble aunt alisema ameamua kujitosa kwenye muziki kwani anaamini yeye ni msanii hivyo anaweza kufanya sanaa ya aina yoyote na alipo kutana na mwanamuziki wa bendi ya mapacha watatu January ndipo walipo pata idea ya kurecod

0 comments:

Post a Comment