Pages

Ads 468x60px

Tuesday 11 June 2013

KALA JEREMIAH MSANII BORA WA HIP HOP AMESEMA KATIKA TUZO ALIZO PATA MOJA ANAMPA MAREHEMU MANGWEA

Msanii kala jeremiah msanii bora wa hip hop aliandika leo kwenye ukurasa wake wa facebook kuwa tuzo alizopata moja anampa marehemu ngwea na kuikabidhi kwa mama yake ngwea alisema
"TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA KWA UJUMLA

mIMI KAMA MSANII BORA WA HIP HOP KWA MWAKA HUU NAPENDA KUCHUKUA MUDA HUU KUWATANGAZIA WATU WOOTE KUWA. KATIKA TUZO TATU NILIZOCHUKUA MOJA NAIKABIDHI KWA ALBERT MANGWEA.YANI NI TUZO YA MANGWEA NA NITAIPELEKA KWA MAMA MZAZI WA MANGWEA MOROGORO.

NIMEAMUA HAYO KWA KUWA HAYATI ALBERT MANGWEA ALIKUWA ANAFANYA MZIKI AMBAO UKO UPANDE AMBAO MIMI NIMESHINDA TUZO TATU YANI HIP HOP.

TUZO NILIYOAMUA KUMPA MANGWEA NI TUZO YA MSANII BORA WA HIP HOP. KWA KUWA ALIKUWA ANASTAHILI PIA KUITWA HIVYO

TUZO HII NAAMINI ITAKUWA UKUMBUSHO MHIMU SANA KWA FAMILIA YAKE.LAKINI PIA ITAKUWA INAONYESHA MSHIKAMANO WETU KAMA WASANII WA HIP HOP.''

POPOTE ULIPO KAMA WEWE NI SHABIKI WA HIP HOP TAFUTA NJIA YOYOTE YA KUENDELEA KUMUENZI NDUGU YETU"

0 comments:

Post a Comment